Mkurugenzi
Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB)
Abdul-Razaq Badru (kushoto) akitoa ufafanuzi wa jambo kwa Katibu Mkuu
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Leonard Akwilapo (katikati)
wakati alipotembelea Banda la HESLB jana Jumatano (Septemba 2, 2020)
katika maonesho ya 15 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia yanayoendelea
katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jiijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu
Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) Prof. Charles Kihampa.
Mkurugenzi
Msaidizi wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Sarah
Fihavango akitoa ufafanuzi kwa mmoja wa wateja aliyembetelea Banda la
HESLB jana Jumatano (Septemba 2, 2020) katika maonesho ya 15 ya Elimu ya
Juu, Sayansi na Teknolojia yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja
Jiijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi
Msaidizi wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Sarah
Fihavango akitoa ufafanuzi kwa mmoja wa wateja aliyembetelea Banda la
HESLB jana Jumatano (Septemba 2, 2020) katika maonesho ya 15 ya Elimu ya
Juu, Sayansi na Teknolojia yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja
Jiijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti
wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
(HESLB) Prof. William Anangisye kulia akizungumza na wakurugenzi wasaidizi
wa HESLB (kushoto) Sarah Fihavango na Omega Ngole katika maonesho ya 15 ya
Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi
Mmoja Jiijini Dar es Salaam.
Afisa
Mikopo Mwandamizi wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa
Elimu ya Juu (HESLB) Saleko Mandara akitoa ufafanuzi kwa mmoja wa wateja
aliyembetelea Banda la HESLB jana Jumatano (Septemba 2, 2020) katika
maonesho ya 15 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia yanayoendelea katika
Viwanja vya Mnazi Mmoja Jiijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment