Habari za Punde

MAJALIWA AHUTUBIA KATIKA SHEREHE ZA BARAZA LA MAULID JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozana na  Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir bin Ally baada ya kuhutubia katika Sherehe za Baraza la Maulid zilizofanyika kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam, Oktoba 29, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Sherehe za Baraza la Maulid zilizofanyika kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam,
Baadhi ya washiriki wa Sherehe za  Baraza la Maulid wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  wakati alipohutubia Baraza hilo kwenye   viwanja  vya Karimjee jijini Dar es salaam
Baadhi ya washiriki wa Sherehe za  Baraza la Maulid wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  wakati alipohutubia Baraza hilo kwenye   viwanja  vya Karimjee jijini Dar es salaam
Baadhi ya washiriki wa Sherehe za  Baraza la Maulid wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  wakati alipohutubia Baraza hilo kwenye   viwanja  vya Karimjee jijini Dar es salaam, 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Mufti  na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir bin Ally, Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku (wa pili kushoto) pamoja na  baadhi ya viongozi walioshiriki katika Sherehe za Baraza la Maulid zilizofanyika kwenye  viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam, Oktoba 29, 2020. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.