Habari za Punde

Semina maalum ilioandaliwa na Benki ya CRDB kwa Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB Profgesa Neema Mori alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya Verde Marina Mtoni  Jijini Zanzibar kuhudhuria Semina Maalum  iliyoandaliwa na Benki kwa Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar iliofanyika jana usiku  28/11/2020 katika viwanja vya Marina na (kulia kwa Rais) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Ndg. Abdulmajid Mussa Nsekela
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar akihudhuria hafla ya Semina ya Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar ilioandaliwa na Benki ya CRDB Tanzania. iliofanyika jana usiku.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa amesimama na Viongozi wa meza kuu wakati ukipigwa wimbo wa Taifa kabla ya kuaza kwa hafla Semina ilioandaliwa na Benki ya CRDB kwa Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar , iliofanyika katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar na (kulia kwa Rais) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Ndg. Abdulmajid Mussa Nsekela na Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Zuberi Ali Maulid na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Mhe. Jamal Kassim Ali na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla.
BAADHI ya Viongozi wa CRDB na Serikali wakiwa katika ukumbi wa Marina wamesimama baada ya kuwasili Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) ukipigwa wimbo wa Taifa, wakati wa hafla ya Semina maalum ilioandaliwa na Benki ya CRDB kwa Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar iliofanyika kjatika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar 
BAADHI ya  Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakiwa katika viwanja vya Marina wamesimama baada ya kuwasili Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) ukipigwa wimbo wa Taifa, wakati wa hafla ya Semina maalum ilioandaliwa na Benki ya CRDB kwa Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar iliofanyika kjatika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar jana usiku 
SHEIKH  Abdulkadir Said Abdalla akisoma Quran kabla ya kuaza kuaza kwa Semina Maalum ilioandaliwa na Benki ya CRDB Tanzania kwa Viongozi Waandamazi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar iliofanyika katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar  jana usiku 28/11/2020
MKURUGENZI Mtendaji wa Benki ya CRDB Tanzania Ndg. Abdulmajid Mussa Nsekela akiwasilisha Mada ya Maendeleo ya Benki ya CRDB kwa Washiriki wa hafla hiyo Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, iliofanyika katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar jana usiku. 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi  akifuatilia Mada ya Maendeleo ya Benki ya CRDB ikiwasilishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Ndg. Abdulmajid Mussa Nsekela.(hayupi pichani) iliofanyika jana usiku 28/11/2020 katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar na (kulia kwa Rais) Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid na (kushoto kwa Rais) Waziri  wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Mhe. Jamal Kassim Ali na Makamu wqa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemede Suleiman Abdulla

WAZIRI wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe. Jamal Kassim Ali akizungumza wakati wa hafla ya Semina ya Viongozi Waandamizi ba Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar , iliofanyika katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar iliofanyika jana usiku 28/11/2020,kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar kuzungumza kjatika hafla hiyo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Semina Maalum ilioandaliwa na Benki ya CRDB Tanzania kwa Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, iliofanyika katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar jana usiku. 

WAGENI Waalikwa wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Husseinn Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya Semina ya Viongozi  Waandamizi  na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar  ilioandaliwa na Benki ya CRDB Tanzania katika ukumbi wa Viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar iliofanyika jana usiku 
WAGENI Waalikwa wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Husseinn Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya Semina ya Viongozi  Waandamizi  na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar  ilioandaliwa na Benki ya CRDB Tanzania katika ukumbi wa Viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar iliofanyika jana usiku. 
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati akihutubia katika hafla ya Semina ya Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, ilioandaliwa na Benki ya CRDB Tanzania katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar.
WAGENI Waalikwa wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Husseinn Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya Semina ya Viongozi  Waandamizi  na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar  ilioandaliwa na Benki ya CRDB Tanzania katika ukumbi wa Viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar iliofanyika jana usiku 
MAKAMU Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB Tanzania Profesa Neema Mori  akizungumza na kutowa neno la shukrani kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)  baada ya kumalizika kwa hafla hiyo ya Semina kwa Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, iliofanyika katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar jana usiku.
WASANII wa Kikundi cha Siti Band wakitowa burudani wakati wa hafla ya Semina ya Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar iliofanyika katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar jana usiku. 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Tanzania Ndg. Abdulmajid Mussa Nsekela na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, wakiwa katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuzungumza na Msanii wa Siti Band Amina Omar Juma, baada ya kumalizika kwa hafla ya Semina ya Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar iliofanyika katika viwanja vya Marina Hotel ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar.Mhe.Jamal Kassim Ali.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.