RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Bodi
ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB Profgesa Neema Mori alipowasili katika viwanja
vya Hoteli ya Verde Marina Mtoni Jijini Zanzibar kuhudhuria Semina Maalum
iliyoandaliwa na Benki kwa Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la
Wawakilishi Zanzibar iliofanyika jana usiku 28/11/2020 katika viwanja vya
Marina na (kulia kwa Rais) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Ndg. Abdulmajid
Mussa Nsekela
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar akihudhuria hafla ya Semina ya Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar ilioandaliwa na Benki ya CRDB Tanzania. iliofanyika jana usiku.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa amesimama na Viongozi wa meza kuu
wakati ukipigwa wimbo wa Taifa kabla ya kuaza kwa hafla Semina ilioandaliwa na
Benki ya CRDB kwa Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi
Zanzibar , iliofanyika katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar
na (kulia kwa Rais) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Ndg. Abdulmajid Mussa
Nsekela na Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Zuberi Ali Maulid na (kushoto
kwa Rais) Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Mhe. Jamal Kassim Ali
na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla.
BAADHI ya Viongozi wa CRDB na Serikali wakiwa
katika ukumbi wa Marina wamesimama baada ya kuwasili Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
ukipigwa wimbo wa Taifa, wakati wa hafla ya Semina maalum ilioandaliwa na Benki
ya CRDB kwa Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar
iliofanyika kjatika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar
BAADHI ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakiwa
katika viwanja vya Marina wamesimama baada ya kuwasili Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
ukipigwa wimbo wa Taifa, wakati wa hafla ya Semina maalum ilioandaliwa na Benki
ya CRDB kwa Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar
iliofanyika kjatika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar jana
usiku
SHEIKH Abdulkadir Said Abdalla akisoma
Quran kabla ya kuaza kuaza kwa Semina Maalum ilioandaliwa na Benki ya CRDB
Tanzania kwa Viongozi Waandamazi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar
iliofanyika katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar
jana usiku 28/11/2020
MKURUGENZI Mtendaji wa Benki ya CRDB Tanzania
Ndg. Abdulmajid Mussa Nsekela akiwasilisha Mada ya Maendeleo ya Benki ya CRDB
kwa Washiriki wa hafla hiyo Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la
Wawakilishi Zanzibar, iliofanyika katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde
Mtoni Jijini Zanzibar jana usiku.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akifuatilia Mada ya Maendeleo ya Benki ya CRDB
ikiwasilishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Ndg. Abdulmajid Mussa Nsekela.(hayupi pichani) iliofanyika jana usiku 28/11/2020 katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde
Mtoni Jijini Zanzibar na (kulia kwa Rais) Spika wa Baraza la Wawakilishi
Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi
Afisi ya Rais Fedha na Mipango Mhe. Jamal Kassim Ali na Makamu wqa Pili wa Rais
wa Zanzibar Mhe. Hemede Suleiman Abdulla
WAZIRI wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango
Zanzibar Mhe. Jamal Kassim Ali akizungumza wakati wa hafla ya Semina ya
Viongozi Waandamizi ba Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar , iliofanyika
katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar iliofanyika
jana usiku 28/11/2020,kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar kuzungumza kjatika
hafla hiyo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Semina Maalum
ilioandaliwa na Benki ya CRDB Tanzania kwa Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa
Baraza la Wawakilishi Zanzibar, iliofanyika katika viwanja vya Marina Hoteli ya
Verde Mtoni Jijini Zanzibar jana usiku.
WAGENI Waalikwa wakifuatilia hutuba ya Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Husseinn Ali
Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya Semina ya Viongozi
Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar
ilioandaliwa na Benki ya CRDB Tanzania katika ukumbi wa Viwanja vya
Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar iliofanyika jana usiku
WAGENI Waalikwa wakifuatilia hutuba ya Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Husseinn Ali
Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya Semina ya Viongozi
Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar
ilioandaliwa na Benki ya CRDB Tanzania katika ukumbi wa Viwanja vya
Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar iliofanyika jana usiku.
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar
wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati akihutubia katika hafla ya
Semina ya Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,
ilioandaliwa na Benki ya CRDB Tanzania katika viwanja vya Marina Hoteli ya
Verde Mtoni Jijini Zanzibar.
WAGENI Waalikwa wakifuatilia hutuba ya Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Husseinn Ali
Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya Semina ya Viongozi
Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar
ilioandaliwa na Benki ya CRDB Tanzania katika ukumbi wa Viwanja vya
Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar iliofanyika jana usiku
MAKAMU Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa
Benki ya CRDB Tanzania Profesa Neema Mori akizungumza na kutowa neno la
shukrani kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.
Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa hafla hiyo ya
Semina kwa Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,
iliofanyika katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar
jana usiku.
WASANII wa Kikundi cha Siti Band wakitowa
burudani wakati wa hafla ya Semina ya Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza
la Wawakilishi Zanzibar iliofanyika katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde
Mtoni Jijini Zanzibar jana usiku.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuagana na Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki ya CRDB Tanzania Ndg. Abdulmajid Mussa Nsekela na (kushoto
kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla,
wakiwa katika viwanja vya Marina Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuzungumza na Msanii
wa Siti Band Amina Omar Juma, baada ya kumalizika kwa hafla ya Semina ya
Viongozi Waandamizi na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar iliofanyika
katika viwanja vya Marina Hotel ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar na (kulia kwa
Rais) Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar.Mhe.Jamal Kassim
Ali.
No comments:
Post a Comment