Habari za Punde

Innaa lillaahi Wainnaa ilayhi Raajiun: Abubakar Khamis Bakar

                       Innaa lillaahi Wainnaa Iayhi Rajiuuun Abubakar Khamis Bakar 

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili  ya ACT Maalim Abubakar Khamis Bakar, Amefariki leo alfajiri na anatarajiwa kuzikwa kuzikwa leo  kuondokea nyumbani kwake  Chukwani  baada ya Sala ya Alasiri 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.