Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi Ajumuika na Waumini wa Kiislam Katika Sala ya Ijumaa Iliofanyika Masjid Afraa Bint Issa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj.Dk. Hussein  Ali Mwinyi akiwasili katika viwanja vya Masjid Afraa Bint Issa kidongochekundu kuhudhuria Sala ya Ijumaa iliofanyika leo 1-1-2021 akiwa na wenyeji wake wa Masjid Afraa Bint Issa. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam katika Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Afraa Bint Issa Kidongochekundu leo.  
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi .Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Afraa Bint Issa. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waumini wa Dini ya Kiislamu   mara baada ya Swala ya Ijumaa katika  Masjid   Afra Binti Issa Kidongochekundu Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharib


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.