Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wanamichezo wa Mazoezi ya Viungo Zanzibar akiwa katika matembezi hayo yalioazia katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Kisonge na kumalizika katika Uwanja wa Amaan kwa mazoezi ya Viungo ya pamoja (kulia kwa Rais) Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Maryam Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Abdulla na Waziri wa Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe. Tabia Maulid Mwita, wakishiriki katika matembezi hayo.
Washiriki wa Vikundi vya Mazoezi ya Viungo kutoka Pemba, Tanzania Bara na Unguja wakiwa katika Tamasha la Matembezi ya Mazoezi ya Viungo Kitaifa Zanzibar wakipita katika barabara ya Mikunguni wakielekea Uwanja wa Amaan kumalizia matembezi hayo na kufanya mazoezi ya pamoja ya Viungo Jumla ya Vikundi 97 vimeshiriki katika mazoezi hayo leo 1-1-2021 hufanyika kila mwaka ifikapo Januari Mosi.
Washiriki wa Vikundi vya Mazoezi ya Viungo kutoka Pemba, Tanzania Bara na Unguja wakiwa katika Tamasha la Matembezi ya Mazoezi ya Viungo Kitaifa Zanzibar wakipita katika barabara ya Mikunguni wakielekea Uwanja wa Amaan kumalizia matembezi hayo na kufanya mazoezi ya pamoja ya Viungo Jumla ya Vikundi 97 vimeshiriki katika mazoezi hayo leo 1-1-2021 hufanyika kila mwaka ifikapo Januari Mosi.
Washiriki wa Vikundi vya Mazoezi ya Viungo kutoka Pemba, Tanzania Bara na Unguja wakiwa katika Tamasha la Matembezi ya Mazoezi ya Viungo Kitaifa Zanzibar wakipita katika barabara ya Mikunguni wakielekea Uwanja wa Amaan kumalizia matembezi hayo na kufanya mazoezi ya pamoja ya Viungo Jumla ya Vikundi 97 vimeshiriki katika mazoezi hayo leo 1-1-2021 hufanyika kila mwaka ifikapo Januari Mosi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wanamichezo wa Mazoezi ya Viungo Zanzibar akiwa katika matembezi hayo yalioazia katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Kisonge na kumalizika katika Uwanja wa Amaan kwa mazoezi ya Viungo ya pamoja (kulia kwa Rais) Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Abdulla na Waziri wa Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe. Tabia Maulid Mwita, wakishiriki katika matembezi hayo. WAFANYAKAZI
wa Benki ya NMB Tawi la Zanzibar wakishiriki katika Tamasha la Mazoezi ya
Viungo la Kitaifa Zanzibar wakipita
katika Jukwaa la Viongozi katika Uwanja wa Amaan, matembezi hayo ya mazoezi ya
Viungo Zanzibar yamepokelewa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) na kujumuika katika mazoezi ya pamoja yaliofanyika katika
Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar
WANAMICHEZO
wa Kikundi cha mazoezi ya Viungo kutoka Mkoani Dodoma wakishiriki katika
Tamasha la Mazoezi ya Viungo la Kitaifa Zanzibar wakipita katika jukwaa kuu la
Viongozi wakati wa kumalizia matembezi hayo na kupokelewa na Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo
pichani) na kujumuika katika mazoezi ya pamoja yaliofanyika katika Uwanja wa
Amaan Jijini Zanzibar
WANAMICHEZI
wa Kikundi cha mazoezi ya Viungo kutoka Dar es Salaam cha Dar Jogging
wakishiriki katika Tamasha la Mazoezi ya Viungo la Kitaifa Zanzibar wakipita
katika jukwaa kuu la Viongozi wakati wa kumalizia matembezi hayo na kupokelewa
na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali
Mwinyi (hayupo pichani) na kujumuika katika mazoezi ya pamoja yaliofanyika
katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar
WASHIRIKI wa Tamasha la Mazoezi ya Viungo Kitaifa Zanzibar
Bi. Pili Mwalimu (kulia) na Bi.Kazija Othman wakimaliza matembezi ya Tamasha la
Kitaifa la Mazoezi ya Viungo Zanzibar
wakipita katikja jukwaa kuu la Viongozi katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar
kumalizia matembezi hayo yalioazia katika viwanja vya Mapinduzi Square
Michezani kisonge na kumalizia Uwanja wa Amaan kwa mazoezi ya pamoja.
No comments:
Post a Comment