RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkuu wa Kitengo cha Uchukuaji
wa taka Maruhubi Ndg. Yussuf Khamis Yussuf, akitowa maelezo ya Kituo hicho
wakati wa ziara yake ya kukagua Mradi wa Huduma za Jamii Mijini (ZUSP) eneo
hilo maalumu kwa ajili ya ukusanyaji wa taka zinazotoka katika eneo la mjini na
(kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Mustafa
Kitwana na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Mjini
Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Mustafa Kitwana akitowa maelezo ya moja ya mashine
ya kushindilia taka wakati zikipakiwa katika kontena katika kituo cha
kukusanyika taka Maruhubi, wakati wa ziara yake kukagua Mradi wa Huduma za
Jamii Mijini (ZUSP)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akitowa agizo kwa Kaimu Mkurugenzi wa
Baraza la Manispa Zanzibar Ndg. Suleiman Mohammed Rashid, wakati wa ziara yake
kukagua Mradi wa Huduma za Jamii Mijini (ZUSP) na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa
wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Mustafa Kitwana na (kushoto kwa Rais)
Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ.Mhe. Masoud
Ali Mohamed
WANANCHI wa eneo la Maruhubi wakimshangilia Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) wakati akizungumza na Wananchi hao akiwa katika ziara yake
kukagua Mradi wa Huduma za Jamii Mijini (ZUSP)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi wakati akitembelea
na kukagua Mradi wa Huduma za Jamii Mijini (ZUSP) alipofika kukagua mtaro wa kupitishia maji katika
eneo la Nyerere kwa Mtumwa jeni, akiwa katika ziara yake ilioazia kwa matembezi
katika eneo la barabara ya Kiembesamaki leo asubuhi na kumalizia mnazi mmoja
27/2/2021
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi wa Kwarara Madina
baada ya kusikiliza kero zao wakati wa ziara yake ya kukagua Mradi wa Huduma za
Jamii Mijini (ZUSP) na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja
Mhe.Idrisa Mustafa Kitwana na (kushoto kwake) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama
Mariam Mwinyi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi
Zena Ahmed Said
MKAAZI wa Kwarara Madina Bi. Mwanaidi Amiri
akizungumzia kero ya barabara na usafiri wa daladala wakati wa ziara ya Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali
Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa ziara yake kukagua Mradi wa Huduma za Jamii
Mijini (ZUSP)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Meneja wa Kituo cha Mradi wa
Huduma za Jamii Mijini (ZUSP) cha utupaji wa taka Kibele Wilaya ya Kati Unguja
wakati wa ziara yake kutembelea Mradi wa (ZUSP) na (kushoto kwa Rais) Mke wa
Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.
Rashid Hadidi Rashid
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akitembelea eneo la utupaji wa taka katika
eneo la Kibele Wilaya ya Kati Unguja akiwa katika ziara yake kukagua Mradi wa Huduma za Jamii Mijini (ZUSP) na
(kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.Rashid Hadidi Rashid na
(kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Kitwana Mustafa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisikiliza kero za Wananchi wa Kibele
eneo lililojengwa Kituo cha utupaji wa taka kupitia Mradi wa Huduma za Jamii
Mijini (ZUSP) wakati wa ziara yake
kukagua Mradi huo na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi
Unguja Mhe.Idrisa Mustafa Kitwana na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini
Unguja Mhe. Rashid Hadidi Rashid
Bi. Mwanaisha Abass Ali mkaazi wa Kibele
akizungumza kero yake wakati wa ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa ziara
yake kukagua Mradi wa Huduma za Jamii Mijini (ZUSP) alipofika katika eneo la
kituo cha utupaji wa taka Kibele Wilaya ya Kati Unguja leo 27-2-2021
MKUU wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.Rashid Hadidi
Rashid akijibu maswali yalioulizwa na Wananchi wakati wa ziara ya Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi katika
ziara yake kukagua Mradi wa Huduma za Jamii Mijini (ZUSP) alipofika katika
Kituo cha kutupa taka eneo la Kibele Wilaya ya Kati Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi wa Kibele
alipotembelea Kituo cha utupaji wa Taka
katika eneo la kibele akiwa katika ziara yake kukagua Mradi wa Huduma za
Jamii Mijini (ZUSP) leo 27-2-2021
WANANCHI wa Kijiji cha Kibele Wilaya ya Kati
Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa ziara yake kukagua eneo
la Kituo cha kutupia taka Kibele, akiwa katika ziara yake kukagua Mradi wa
Huduma za Jamii Mijini (ZUSP)
No comments:
Post a Comment