Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wabunge Bungeni jijini Dodoma, Machi 30, 2021. Kulia ni Waziri wa Katiba na Sheria, Mwigulu Nchemba
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Rufiji, Mohamed Mchengerwa, Bungeni jijini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Rufiji, Mohamed Mchengerwa, Bungeni jijini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo (katikati) na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki (kulia), Bungeni jijini Dodoma,
Wabunge wakiwa wamesimama kimya kwa heshima kumkumbuka aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, Bungeni jijini Dodoma, Machi 3, 2021.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment