RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, Waziri
Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa na Mkewe Mama
Mary Majaliwa, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla
na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed
Said, wakiopekea Mwili wa Hayati John Pombe Magufuli uliopowasili Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar
MAKAMANDA wa Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ
wakiwa wamebeba jeneza likiwa na mwili wa Hayati John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania, baada kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume
Zanzibar, na kupelekwa Uwanja wa Amaan kwa ajili ya kuagwa na Wananchi wa
Zanzibar
MAKAMANDA wa Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ
wakiwa wamebeba jeneza likiwa na mwili wa Hayati John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania, baada kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume
Zanzibar, na kupelekwa Uwanja wa Amaan kwa ajili ya kuagwa na Wananchi wa
Zanzibar
MAKAMANDA wa Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ
wakiwa wamebeba jeneza likiwa na mwili wa Hayati John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania, baada kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume
Zanzibar, na kupelekwa Uwanja wa Amaan kwa ajili ya kuagwa na Wananchi wa
Zanzibar
MAKAMANDA wa Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ
wakiwa wamebeba jeneza likiwa na mwili wa Hayati John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania, baada kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume
Zanzibar, na kupelekwa Uwanja wa Amaan kwa ajili ya kuagwa na Wananchi wa
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiongoza Viongozi na Wananchi katika
hafla ya kuupokea mwili wa Hayati John Pombe Magufuli Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar na kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa
Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majali Mama
Mary Majaliwa, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla
na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed
Said
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiongoza Viongozi na Wananchi katika
hafla ya kuupokea mwili wa Hayati John Pombe Magufuli Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar na kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa
Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majali Mama
Mary Majaliwa, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla
na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed
Said.
No comments:
Post a Comment