RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiania na
Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania Mhe.Frederic Clavier alipowasili katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na
kujitambulisha
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza
Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania Mhe. Frederic Clavier, alipofika Ikulu
Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha, mazungumzo hayo yamefanyika
katika ukumbiu wa Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na
Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania Mhe. Frederic Clavier (kulia kwa Rais) akiwa
na ujumbe wake, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha,
mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania Mhe. Frederic Clavier baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini ZanzibarRAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na
Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania Mhe. Frederic Clavier (kulia kwa Rais) na Ujumbe wake baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na mgeni wake
Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania Mhe. Frederic Clavier, wakitoka katika
ukumbi wa baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu
Jijini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment