RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Mhe.Donald John Wright, alipofika Ikulu
Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha,mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Mhe.Donald John Wright, alipofika Ikulu
Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha,mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na
mgeni wake Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Mhe.Donald John Wright, alipofika
Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha mazungumzo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na
mgeni wake Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Mhe.Donald John Wright, alipofika
Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha mazungumzo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa kitabu na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Mhe.Donald John Wright, alipofika
Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha mazungumzo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Mhe.Donald John Wright, alipofika
Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha.
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Mhe.Donald John Wright, na ujumbe wake baada ya kumaliza mazungumzo na kujitambulisha yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment