Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa Azindua Ajenda ya Kitaifa ya Kuwekeza katika Afya na Maendeleo ya Vijana.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikaribishwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Dorothy Gwajima, wakati alipowasili kwenye hoteli ya Morena jijini Dodoma Kuzindua  Ajenda ya Kitaifa  ya kuwekeza Katika Afya na Maendeleo kwa Vijana  Balehe, Aprili 17, 2021.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikaribishwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Dorothy Gwajima, wakati alipowasili kwenye hoteli ya Morena jijini Dodoma Kuzindua  Ajenda ya Kitaifa  ya kuwekeza Katika Afya na Maendeleo kwa Vijana  Balehe.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wanachuo  wa Chuo cha Mafunzo ya Ufundi (VETA) Dodoma wakati alipotembelea maonesho yao kabla ya kuzindua Ajenda ya Kitaifa  ya kuwekeza Katika Afya na Maendeleo kwa Vijana  Balehe kwenye hoteli ya Morena jijini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akiongozwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Dorothy Gwajima kuingia kwenye ukumbi wa Hoteli ya Morena jijini Dodoma kuzindua Ajenda ya Kitaifa  ya kuwekeza Katika Afya na Maendeleo kwa Vijana  Balehe, Aprili 17, 2021.  Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Bilinith Mahenge.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe wakati alipozindua Ajenda ya Kitaifa  ya kuwekeza Katika Afya na Maendeleo kwa Vijana Balehe kwenye Hoteli ya Morena jijini Dodoma, Aprili 17, 2021.  Wengine kutoka kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama,  Mwakilishi wa UNCEF nchini, Shalini Bahuguna, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Doroth Gwajima na kulia ni Mwakilishi wa World Vision, Nasir Mollel
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipozindua Ajenda ya Kitaifa  ya kuwekeza Katika Afya na Maendeleo kwa Vijana  Balehe kwenye hoteli ya Morena jijini Dodoma

Baadhi ya washiriki wa  tukio la Uzinduzi wa  Ajenda ya Kitaifa  ya Kuwekeza Katika Afya na Maendeleo kwa Vijana  Balehe kwenye hoteli ya Morena jijini Dodoma


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Mwakilishi wa UNICEF nchini,  Shalini Bahuguna baada ya kuzindua Ajenda ya Kitaifa  ya kuwekeza Katika Afya na Maendeleo kwa Vijana  Balehe kwenye Hoteli ya Morena jijini Dodoma, Aprili 17, 2021. Kushoto ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Dorothy Gwajima

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.