Habari za Punde

Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Mgeni Hassan Juma Atowa Mkono wa Eid Kwa Watoto wa Kituo cha ZASO Children Home Fuoni.

 

Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Mgeni Hassan Juma akitowa mkono wa Eid El Fitry kwa Watoto Yatima wanaoishi katika Kituo cha Watoto ZASO Children Home Fuoni Wilaya ya Magharibi "B"Unguja alipofika kuwatembelea na kutowa Mkono wa Eid.  

 


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.