Habari za Punde

Kikao cha kujadili changamoto zinazowakabili vijana wa kisiwani Pemba chafanyika Gombani

VIONGOZI wa Mabaraza ya Vijana na taasisi zinazoshughulikia vijana Pemba, wakiwa katika kikao cha kujadili changamoto zinazowakabili vijana wa kisiwa Cha Pemba, kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari Gombani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA
MKURUGENZI wa Maendeleo ya Vijana Zanzibar Shaibu Ibrahim Mohamed, akizungumza katika mkutano wa kujadili changamoto zinazowakabili vijana wa Kisiwa Cha Pemba, Mkutano uliowashirikisha viongozi wa mabaraza ya vijana Wilaya na Taifa, taasisi zinazoshuhulika na Vijana, mkutano uliofanyika katika ofisi za Wizara ya Habari Gombani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.