Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Cheti cha Udhamini Mjadala wa Uwekezaji Zanzibar Big Breakfast Meneja Uhusiano Bima Benki ya CRDB -Zanzibar Bi.Hamida Juma, wakati wa hafla hiyo iliyowajumuisha Wadau wa Uwekezaji Zanzibar uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar. jana 24-9-2021.
Maofisa wa Benki ya CRDB wakifuatilia kwa makini Mjadala wa Uwekezaji Zanzibar wakati ikiwasilishwa Mada kuhusiana ya Fursa za Uwekezaji Zanzibar ikiwasilishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa ZIPA Zanzibar Bw. Shariff Ali Shariff.(hayupo pichani) uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya Wadhamili wa Mjadala wa Uwekezaji Kiuchumi Zanzibar, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.
No comments:
Post a Comment