MKURUGENZI wa Idara ya Katiba na Msaada wa Kisheria
kutoka Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Hanifa Ramadhan
Said, akifungua mkutano wa kutoa elimu kwa jamii katika siku 16 za kupinga
masuala masuala ya udhalilishaji wa jinsia, kwa wananchi wanaishi katika kisiwa
cha Fundo Wilaya ya Wete.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
WASANII wa Sanaa ya Maigizo kutoka Wete Awena Hamad
Khamis (kushoto) na Hudhaifat Ali Amour (kulia), akimpatia kanga mama yake
amsomee jina lililoandikwa, akionyesha athari za kutokujua kusoma kwa mtoto
wakike, wakati wa utoaji wa elimu kwa jamii katika siku 16 za kupinga masuala
masuala ya udhalilishaji wa jinsia, kwa wananchi wanaishi katika kisiwa cha
Fundo Wilaya ya Wete.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
BAADHI ya wananchi wa Kisiwa cha Fundo Wilaya ya
Wete, wakifuatilia kwa makini mkutano wa utoaji wa elimu kwa jamii katika siku
16 za kupinga masuala masuala ya udhalilishaji wa jinsia, kwa wananchi wanaishi
katika kisiwa cha Fundo Wilaya ya Wete, mkutano ulioandaliwa na Idara ya Katiba
na Msaada wa Kisheria zanzibar.(PICHA NA
ABDI SULEIMAN, PEMBA)
AFISA Sheria kutoka Idara ya Katiba na Msaada wa
Kisheria Zanzibar Yusra Abdalla Said, akitoa maelezo kwa wananchi wa Kisiwa cha
Fundo juu ya Changamoto mbali mbali za udhalilishaji wanazokumbana nazo katika
jamii, wakati wa utoaji wa elimu kwa jamii katika siku 16 za kupinga masuala
masuala ya udhalilishaji wa jinsia, mkutano ulioandaliwa na Idara ya Katiba na
Msaada wa Kisheria zanzibar.(PICHA NA
ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MMOJA ya Wananchi wa Kisiwa cha Fundo Abdalla Salim
Ali, akichangia katika mkutano wa utoaji wa elimu kwa jamii katika siku 16 za
kupinga masuala masuala ya udhalilishaji wa jinsia, mkutano ulioandaliwa na
Idara ya Katiba na Msaada wa Kisheria zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment