Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Katibu wa Kamati ya Taasisi ya Maalim Seif Foundation Bw. Ismail Jussa alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar kuhudhuria Ufunguzi wa Mkutano wa Kongamano la Maadhimisho ya Kumbukumbu wa Maisha ya Maalim Seif Sharif Hamad.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Katibu wa Kamati ya Taasisi ya Maalim Seif Foundation Bw. Ismail Jussa alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar kwa ajili ya kuuffungua Mkutano wa Kongamano la Maadhimisho ya Kumbukumbu wa Maisha ya Maalim Seif Sharif Hamad.
KATIBU wa Kamati ya Taasisi ya Maalim Seif
Sharif Bw. Ismail Jussa akizungumza
katika na kutowa maelezo ya Taasisi ya Maalium Seif, wakati wa hafla ya mkutano
wa ufunguzi wa Kongamano la Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Maisa ya Maalim Seif
Sharif Hamad. lililofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Golden Tulip Zanzibar.
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe Othman
Masoud Othman akizungumza na katika hafla ya ufunguzi wa mkutano wa Kongamano
la Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Maisha ya Maalim Seif Sharif Hamad,
lililofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Golden Tulip Zanzibar
BAADHI ya Wageni Waalikwa wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo
pichani) akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin, kulifungua Kongamano
la Maadhimisho ya Kumbukumbu wa Maisha ya Marehemu Maalim Seif Sharif Hamad. lililofanyika
katika ukumbi wa Hotel ya Golden Tulip Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuhutubia wakati wa hafla ya
mkutano wa ufunguzi wa Kongamano la Maadhimisho na Kumbukumbu ya Maisha ya
Maalim Seif Sharif Hamad, lililofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Golden Tulip
Zanzibar
BAADHI ya Wageni Waalikwa wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo
pichani) akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin, kulifungua Kongamano
la Maadhimisho ya Kumbukumbu wa Maisha ya Marehemu Maalim Seif Sharif Hamad. lililofanyika
katika ukumbi wa Hotel ya Golden Tulip Zanzibar
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe
Samia Suluhu Hassan akihutubia katika hafla ya ufunguzi wa mkutano wa Kongamano la Maadhimisho ya
Kumbukumbu ya Maisha ya Maalim Seif Sharif Hamad, lililofanyika katika ukumbi
wa Hotel ya Golden Tulip Zanzibar leo 5-11-2021
RAIS Mstaaf wa Zanzibar Awamu ya Sita Mhe Dkt.
Amani Karume na Mjane wa Marehemu Maalim Seif Sharif Mama Awema Sharif,
wakifuatilia hafla ya ufunguzi wa mkutano wa Kongamano la Maadhimisho ya Kumbukumbu
ya Maisha ya Maalim Seif Sharif Hamad, lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya
Golden Tulip Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman
Masoud Othman wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kongamano la Maadhimisho ya
Kumbukumbu ya Maisha ya Maalim Seif Sharif Hamad,wakati Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan.(hayupo pichani) akihutubia na
kulifunga katika ukumbi wa Hotel ya Golden Tulip Zanzibar
BAADHI ya Mabalozi na Wawakilishi wa Taasisi wakimsikiliza
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (hayupo
pichani) akihutubia na kulifungua Kongamano la Maadhimisho ya Kumbukumbu ya
Maisa ya Maalim Seif Sharif Hamad, lililofanyika katika ukumbi wa Hotel ya
Golden Tulip Zanzibar
BAADHI ya Mabalozi na Wawakilishi wa Taasisi wakimsikiliza
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (hayupo
pichani) akihutubia na kulifungua Kongamano la Maadhimisho ya Kumbukumbu ya
Maisa ya Maalim Seif Sharif Hamad, lililofanyika katika ukumbi wa Hotel ya
Golden Tulip Zanzibar
KATBU wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Mkuu
Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na (kushoto) Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar
Sheikh. Othan Hassan Ngwali na (kulia kwake)Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Pili wa Rais Sera,Uratibu na Baraza la Wawakilishi. Mhe.Dkt.Khalid Salum Mohammed
na Waziri wa Nchiu Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi
na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na
kutowa wasifu wa Maalim Seif, wakati wa Kongamano la Maadhimishi ya Kumbukumbu
ya Maisha ya Maalim Seif Sharif Hamad, lililofanyika katika ukumbi wa Hotel ya
Golden Tulip Zanzibar.
WANAFAMILIA ya Maalim Seif Sharif Hamad wakifuatilia hutuba ya Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan.(hayupo pichani) akihutubia la
kulifungua Kongamano la Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Maisha ya Maalim Seif
Sharif Hamad, lililofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Golden Tulip Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Mjane wa Marehemu Maalim
Seif Sharif Hamad Mama Awena Sharif, baada ya kumalizika kwa hafla ya mkutano
wa ufunguzi wa Kongamano la Maadhimisho ya Kumbukumnbu ya Maisha ya Maalim Seif
Sharif Hamad, lililofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Golden Tulip Zanzibar.
No comments:
Post a Comment