JAJI Mstaafu Mahakama Kuu Tanzania Robert Vincent
Makaramba, akiwasilisha mada katika Mafunzo ya Mahakimu juu ya upatikanaji wa
haki kwa watu wasiokuwa na uwezo na wenyemahitaji maalumu, yaliyofanyika Mjini
Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
MTENDAJI Mkuu Msaidizi wa Mahakama Kuu Pemba
Thuwaiba Amour Haji, akitoa neno la shukuran wakati wa mafunzo ya Mahakimu juu
ya upatikanaji wa haki kwa watu wasiokuwa na uwezo na wenyemahitaji maalumu,
yaliyofanyika Mjini Chake Chake.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Salama Mbarouk
Khatib (kulia), akimkabidhi cheti Rehema Juma Khamis mara baada ya kuhitimu
mafunzo ya Mahakimu juu ya upatikanaji wa haki kwa watu wasiokuwa na uwezo na
wenyemahitaji maalumu, yaliyofanyika Mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Salama Mbarouk
Khatib, akifunga mafunzo ya Mahakimu juu ya upatikanaji wa haki kwa watu
wasiokuwa na uwezo na wenyemahitaji maalumu, yaliyofanyika Mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
No comments:
Post a Comment