Mkurugenzi Tehama Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Omar S. Ali akiangalia baadhi ya kazi za ubunifu wa tehama zilizofanywa na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA katika maonyoesho ya kwanza ya siku ya UBUNIFU WA TEHAMA yaliyofanyika Ukumbi wa Skuli ya Utalii Maruhubi Zanzibar.
Mkurugenzi Tehama Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Omar S. Ali akiangalia baadhi ya kazi za ubunifu wa tehama zilizofanywa na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA katika maonyoesho ya kwanza ya siku ya UBUNIFU WA TEHAMA yaliyofanyika Ukumbi wa Skuli ya Utalii Maruhubi Zanzibar.
Makamo Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA Prof. Mohammed Makame Haji akizungumza na kumkaribisha mgeni rasmi kuhutubia katika maonyesho ya kwanza ya kazi za ubunifu wa tehama huko Ukumbi wa Skuli ya Utalii Maruhubi Zanzibar.
Chama cha ADC Chatowa Mafunzo kwa Mawakala Wao wa Usimamizi Uchaguzi Mkuu
2025
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha ADC Mhe. Hamad Rashid
akizungumza na Mawakala wa Chama hicho wakati wa ufunguzi wa mafunzo
yaliyofan...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment