Mkurugenzi Tehama Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Omar S. Ali akiangalia baadhi ya kazi za ubunifu wa tehama zilizofanywa na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA katika maonyoesho ya kwanza ya siku ya UBUNIFU WA TEHAMA yaliyofanyika Ukumbi wa Skuli ya Utalii Maruhubi Zanzibar.
Mkurugenzi Tehama Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Omar S. Ali akiangalia baadhi ya kazi za ubunifu wa tehama zilizofanywa na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA katika maonyoesho ya kwanza ya siku ya UBUNIFU WA TEHAMA yaliyofanyika Ukumbi wa Skuli ya Utalii Maruhubi Zanzibar.
Makamo Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA Prof. Mohammed Makame Haji akizungumza na kumkaribisha mgeni rasmi kuhutubia katika maonyesho ya kwanza ya kazi za ubunifu wa tehama huko Ukumbi wa Skuli ya Utalii Maruhubi Zanzibar.
NBAA YASISITIZA USHIRIKIANO NA WANAHABARI
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendesha
semina maalum kwa wahariri na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali
...
13 minutes ago
No comments:
Post a Comment