Habari za Punde

Matukio ya Picha Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara (Iliyokuwa Tanganyika) Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam Jana 9-12-2021.

Vikosi mbalimbali vya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania JWTZ vikipita Kikakamavu mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara katika Sherehe zilizofanyika katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam leo tarehe 9 Desemba, 2021.











 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.