Vikosi mbalimbali vya
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania JWTZ vikipita Kikakamavu mbele ya Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan
katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara katika Sherehe zilizofanyika
katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam leo tarehe 9 Desemba, 2021.
DKT. NCHEMBA ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI UGANDA
-
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akisalimiana na
Balozi wa Tanzania Nchini Uganda, Mhe Meja Jenerali Paul Simuli,
alipotembelea Ofi...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment