RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.Mhe
Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar
Dkt.Abdallah Juma Mabodi (kushoto kwa Rais) akiwa na Viongozi wa Kamati Kuu ya
CCM Taifa, alipowasili Afisi Kuu ya CCM Zanzibar kuhudhuria Kikao cha Kamati
Maalum ya Halmashauri ya CCM Zanzibar.kilichofanyika leo 12-12-2021
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar
Dkt.Abdallah Juma Mabodi (kushoto kwake) akiwa na Viongozi wa Kamati Kuu ya
CCM Taifa, alipowasili Afisi Kuu ya CCM Zanzibar kuhudhuria Kikao cha Kamati
Maalum ya Halmashauri ya CCM Zanzibar.kilichofanyika.
WAJUMBE wa Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri
ya CCM Zanzibar wakisoma makabrasha ya Kikao kabla ya kuaza kwa, kilichoongozwa
na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein,
kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar
WAJUMBE wa Kikao cha Kamati Maalum ya
Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakiwa wamesimama wakati wa kuwasili kwa Makamu
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu
ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi. (hawapo pichani)
Kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui
Zanzibar.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi
Zanzibar Rais Mstaaf wa Zanzibar. Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, akiongoza Kikao cha
Kamati Maalum ya Halmashauri ya CCM Zanzibar, kilichofanyika katika ukumbi wa
Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar na (kulia kwake) Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mjumbe wa Halmashauri
Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed
Suleiman Abdulla.
WAJUMBE wa Kikao cha Kamati Maalum ya
Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Chama cha
Mapindsuzi Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akiongoza Kikao
hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi
Zanzibar Rais Mstaaf wa Zanzibar. Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, akiongoza Kikao cha
Kamati Maalum ya Halmashauri ya CCM Zanzibar, kilichofanyika katika ukumbi wa
Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar na (kulia kwake) Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mjumbe wa Halmashauri
Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed
Suleiman Abdulla.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Rais
Mstaaf wa Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya
CCM Taifa.Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, wakiagana na Viongozi wa CCM baada ya
kumalizika kwa Kikao cha Kamati Maalumu ya Halmashauri ya CCM Zanzibar
kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa.Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa Mhe. Hemed Suleiman Abdulla,baada ya kumalizika kwa Kikao cha Kamati Maalum
ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya
CCM Kisiwandui Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Wajumbe wa Kamati Maalum ya Halmashauri
Kuu ya CCM Zanzibar, baada ya kumalizika kwa Kikao cha Kamati Maalum,
kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui.
No comments:
Post a Comment