KAMISHNA wa Polisi Zanzibar Mohamed Haji Hassan,
akizungumza viongozi wa Dini, waendesha boda boda, Madereva Tax, viongozi wa
Dini, Watu wa Ustawi wa Jamii, afisa elimu na manahodha wa vyombo vya bahari,
wakati wa ufungaji wa mafunzo yaliotolewa na Taasisi ya CYD Zanzibar, kwa
kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Wete, chini ya mradi wa Amani
Mipakani kwa ufadhili wa Ubalozi wa Canada Tanzania kutipia Mfuko wa Maendeleo
ya Kijamii (CFLI).(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
WASANII wa Kikundi cha sanaa Wete kikiongozwa na
Mohamed Kombo (Mwinyi Mpeku), wakionesha igozo umuhimu wa Amani Mipakani wakati
wa kikao cha ufungaji wa Mafunzo yaliotolewa na Taasisi ya CYD Zanzibar, kwa
kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Wete, chini ya mradi wa Amani
Mipakani kwa ufadhili wa Ubalozi wa Canada Tanzania kutipia Mfuko wa Maendeleo
ya Kijamii (CFLI).(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
MKURUGENZI wa Taasisi ya CYD Zanzibar Hashim Pondeza
kushoto akimueleza jambo Kamishna wa Polisi Zanzibar Mohamed Haji Hassan,
wakati wa hafla ya ufungaji wa mafunzo yaliotolewa na Taasisi ya CYD Zanzibar,
kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Wete, chini ya mradi wa Amani
Mipakani kwa ufadhili wa Ubalozi wa Canada Tanzania kutipia Mfuko wa Maendeleo
ya Kijamii (CFLI).(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
VIONGOZI mbali mbali wa Dini wakirokodi kwa Simu
igizo maalumu lililotolewa na Kikundi cha Mwinyi Mpeku, juu ya umuhimu wa amani
Mipakani wakati wa ufungaji wa mafunzo yaliotolewa na Taasisi ya CYD Zanzibar,
kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Wete, chini ya mradi wa Amani
Mipakani kwa ufadhili wa Ubalozi wa Canada Tanzania kutipia Mfuko wa Maendeleo
ya Kijamii (CFLI).(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment