AFISA kutoka Chama
Cha Waandishi wa habari wanawake Tanzania, TAMWA Pemba Asha Mussa Omar,
akichangia mada katika mkutano uliaondaliwa na Tume ya Ukimwi Zanzibar Ofisi ya
Pemba na Kuwashirikisha wadau kutoka asasi za kiraia Pemba.
WADAU kutoka asasi za
kiraia Pemba, wakifuatilia kwa makini uwasilishaji wa mada, uzingatiaji wa
masuala ya Ukimwi katika sekta binafsi, mkutano uliofanyika katika ofisi za
Tume ya Ukimwi Chake Chake Pemba.
MRATIB wa Tume ya
Ukimwi Zanzibar Ofisi ya Pemba Ali Mbarouk Omar, akiwasilisha mada katika
mkutano uliowashirikisha viongozi wa asasi za Kiraia, juu ya uzingatiaji wa
masuala ya Ukimwi katika sekta binafsi, mkutano uliofanyika katika ofisi za ZAC
Chake Chake Pemba.
MWAKILISHI kutoka jumuiya ya JUKAMKUM Pemba Dk.Ali Yussuf Ali, akichangia katika mada katika mkutano ulioandaliwa na Tume ya Ukimwi Zanzibar Ofisi ya Permba na kuwashirikisha wadau kutoka asasi za kirai Pemba.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN)
No comments:
Post a Comment