Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na Meya wa Jiji la New York Mhe.
Eric Adams Jijini humo nchini Marekani leo tarehe 18 Aprili, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na Meya wa Jiji la New York Mhe.
Eric Adams Jijini humo nchini Marekani leo tarehe 18 Aprili, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Meya wa Jiji la
New York Mhe. Eric Adams mara baada ya mazungumzo yao leo tarehe 18 Aprili,
2022 nchini Marekani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Mtangazaji Maarufu wa Kituo
cha Television cha CBS nchini Marekani Bi. Gayle King wakati alipokutana na
Wafanyabiashara, Wawekezaji pamoja na Wadau Wakuu wa Sekta ya Habari wa nchini
Marekani katika Jiji la New York leo tarehe 18 Aprili, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wafanyabiashara, Wawekezaji
pamoja na Wadau Wakuu wa Sekta ya Habari wa nchini Marekani katika Jiji la New
York leo tarehe 18 Aprili, 2022.
No comments:
Post a Comment