RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wazee wa Baraza la Wazee wa
Chama cha Mapinduzi (CCM) Pemba, mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa jengo
la ZSSF Tibirinzi Chakechake Pemba
WAZEE wa Baraza la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi Kisiwani Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa mkutano wake na Wazee hao uliofanyika katika ukumbi wa Jengo la ZSSF Tibirinzi Chakechake Pemba.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwenyekiti wa Baraza la Wazee
wa Chama Cha Mapinduzi Pemba Bw.Mohammed Abass Mselem, wakati wa mkutano huo wa
Wazee uliofanyika katika ukumbi wa jengo la ZSSF Tibirinzi Chakechake Pemba
KATIBU wa Baraza la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi
Pemba Bw.Abdalla Yussuf Ali akisoma na kuwasilisha taarifa ya Wazee wa Baraza
la CCM, wakati wa mkutano wao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) mkutano huo uliofanyika
katika ukumbi wa ZSSF Tibirinzi Chakechake Pemba.
No comments:
Post a Comment