Habari za Punde

Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na Kuzungumza na Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Juma Duni Haji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Juma Duni Haji aliyefika Ikulu Tunguu tarehe 05 Mei, 2022 kwa ajili ya kujitambulisha kwa Mhe. Rais mara baada ya kuchaguliwa katika wadhifa huo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Juma Duni Haji Ikulu Tunguu, Zanzibar tarehe 05 Mei, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Juma Duni Haji Ikulu Tunguu, Zanzibar tarehe 05 Mei, 2022.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.