Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mwenyekiti ambaye pia Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Kutengeneza Mabati na Mabomba (roofings ltd) Dkt. Sikander Lalani wakati akitembelea na kujionea kazi za uzalishaji wa malighafi ya chuma, bati na bomba katika Kiwanda hicho, Kampala nchini Uganda tarehe 11, Mei, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mwenyekiti ambaye pia Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Kutengeneza Mabati na Mabomba (roofings ltd) Dkt. Sikander Lalani wakati akitembelea na kujionea kazi za uzalishaji wa malighafi ya chuma, bati na bomba katika Kiwanda hicho, Kampala nchini Uganda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mwenyekiti ambaye pia Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Kutengeneza Mabati na Mabomba (roofings ltd) Dkt. Sikander Lalani wakati akitembelea na kujionea kazi za uzalishaji wa malighafi ya chuma, bati na bomba katika Kiwanda hicho, Kampala nchini Uganda.
No comments:
Post a Comment