Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya AngloGold Ashanti Dkt. Alberto Calderon mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 23 Mei, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika Picha ya pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya AngloGold Ashanti Dkt. Alberto Calderon mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Chamwino Jijini Dodoma.
Mpenzi wangu anataka turudiane tatizo ana mimba ya mwanaume mwingine, nifanyaje?
-
Na.Mwandishi Wetu.
Katika haya maisha epuka sana kujifanya mjanja sana kuliko watu wengine,
jambo hilo litakufanya ujione unapiga hatua kimaisha mwisho ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment