Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya AngloGold Ashanti Dkt. Alberto Calderon mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 23 Mei, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika Picha ya pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya AngloGold Ashanti Dkt. Alberto Calderon mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Chamwino Jijini Dodoma.
MAKUMBUSHO YA TAIFA LA TANZANIA YASHINDA TUZO YA HUDUMA BORA YA UHIFADHI WA
UTAMADUNI NA URITHI WA TAIFA TUZO ZA UBUNIFU UTUMISHI WA UMMA 2025
-
Makumbusho ya Taifa la Tanzania yameibuka mshindi wa Tuzo ya Huduma Bora ya
Uhifadhi wa Utamaduni na Urithi wa Taifa kwa Mwaka 2025 katika Tuzo za
Ubunifu...
1 hour ago
.jpg)
.jpg)
0 Comments