Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya AngloGold Ashanti Dkt. Alberto Calderon mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 23 Mei, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika Picha ya pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya AngloGold Ashanti Dkt. Alberto Calderon mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Chamwino Jijini Dodoma.
NAMELOCK ALIVYOPOKEWA KWA KISHINDO MONDULI,AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA HESHIMA
KUBWA YA KUUNYANYUA MKOA WA ARUSHA
-
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa,Ndugu Namelock Edward
Sokoine, amepokelewa kwa hamasa,nderemo, vifijo na umati wa Wananchi leo
Juma...
15 hours ago
No comments:
Post a Comment