Habari za Punde

Rais Dk Hussein Mwinyi afungua mkutano wa Maadhimisho ya Siku ya Mapambano Dhidi ya Rushwa Afrika

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali baada ya kuwasili katika Hoteli ya Madinat Al Bahri Mbweni Unguja kuhudhuria ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku ya Mapambano Dhidi ya Rushwa Afrika na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar.Mhe Haroun Ali Suleiman, akitowa maelezo kuhusiana na mkutano wa Maadhimisho ya Siku ya Mapambano Dhidi ya Rushwa Afrika, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahri Mbweni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja uliofanyika leo 12-7-2022.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Viongozi Wakuu wa Serikali baada ya kuwasili katika ukumbi wa Madinat Al Bahri Mbweni, wakati ukipigwa wimbo wa Taifa na wa Afrika Mashariki, kabla ya kuaza kwa ufunguzi wa mkutano wa Maadhimisho ya Siku ya Mapambano Dhidi ya Rushwa Afrika, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahri Mbweni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 12-7-2022.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Tuzo ya “Promoting Integrity and Anti-Corruption in Africa” na Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri wa Afrika ya Kupinga Rushwa Mhe. Jean-Louis  Andriamidfidy, wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Maadhimisho ya Siku ya Mapambano Dhidi ya Rushwa Afrika, unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 12-7-2022
VIONGOZI mbalimbali waakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi(hayupo pichani) akihutubia na kuufungua mkutano wa Maadhimisho ya Siku ya Mapambano Dhidi ya Rushwa Afrika, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahri Mbweni Wilaya ya Magharibi”B” Unguja leo 12-7-2022.(Picha na Ikulu)
BAADHI ya Mawaziri na Viongozi wa Dini waakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi(hayupo pichani) akihutubia na kuufungua mkutano wa Maadhimisho ya Siku ya Mapambano Dhidi ya Rushwa Afrika, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahri Mbweni Wilaya ya Magharibi”B” Unguja leo 12-7-2022.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Maadhimisho ya Siku ya Mapambano Dhidi ya Rushwa Afrika, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 12-7-2022.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiagana na Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri wa Afrika ya Kupinga Rushwa Mhe. Jean-Louis Andriamifidy, baada ya kuufungua wa mkutano wa Maadhimisho ya Siku ya Mapambano Dhidi ya Rushwa Afrika, unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni  Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 12-7-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuagana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa baada ya kumaliza kuufungua mkutano wa Maadhimisho ya Siku ya Mapambano Dhidi ya Rushwa Afrika , unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahri Mbweni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 12-7-2022.(Picha na Ikulu)
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.