Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa akisalimiana na Skauti Mkuu Mhe. Mwantumu Mahiza, a;lipofika Ofisi ndogo ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam,leo Julai 13, 2022.kwa mazungumzo.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Skauti Mkuu Mhe. Mwantumu Mahiza, ofisi ndogo ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam, Julai 13, 2022.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment