RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Nchini Iran Mhe.Hossein Amir Abdollahian (wa tatu kushoto) alipofika na Ujumbe wake Ikulu Jijini Zanzibar akiwa ziarani Nchini.[Picha na Ikulu] 26/08/2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimkabidhi zawadi Waziri wa Mambo ya Nje wa Nchini Iran Mhe.Hossein Amir Abdollahian baada ya mazungumzo yao leo alipofika na Ujumbe wake Ikulu Jijini Zanzibar akiwa ziarani Nchini.[Picha na Ikulu] 26/08/2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje wa Nchini Iran Mhe.Hossein Amir Abdollahian (kushoto) baada ya mazungumzo yao leo alipofika na Ujumbe wake Ikulu Jijini Zanzibar akiwa ziarani Nchini.[Picha na Ikulu] 26/08/2022
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment