Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizindua Mbio Amref Wogging Marathon ya Kilimota 10 na Kilimota Tano, zilizoazia katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja na kumalizikia katika viwanja vya Amani leo 27-8-2022. kwa Ajili ya kuchangia  Vifaa Tiba kwa Uzazi Salama.  
Washiriki wa Amref Wogging Marathon kilimita 10 wakiaza mbio hizo katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja na kumalizikia katika viwanja vya Amaan leo 27-8-2022.


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.