Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizindua Mbio Amref Wogging Marathon ya Kilimota 10 na Kilimota Tano, zilizoazia katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja na kumalizikia katika viwanja vya Amani leo 27-8-2022. kwa Ajili ya kuchangia Vifaa Tiba kwa Uzazi Salama.
Washiriki wa Amref Wogging Marathon kilimita 10 wakiaza mbio hizo katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja na kumalizikia katika viwanja vya Amaan leo 27-8-2022.
KINANA AKUTANA NA MABALOZI WA URUSI NA MOROCCO NCHINI TANZANIA, LUMUMBA JIJINI DAR ES SALAAM,LEO MACHI 23, 2023.
-
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Kanali Mstaafu
Abdulrahman Kinana, akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi wa Urusi Mhe.
Andrey Aveti...
5 minutes ago
No comments:
Post a Comment