Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizindua Mbio Amref Wogging Marathon ya Kilimota 10 na Kilimota Tano, zilizoazia katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja na kumalizikia katika viwanja vya Amani leo 27-8-2022. kwa Ajili ya kuchangia Vifaa Tiba kwa Uzazi Salama.
Washiriki wa Amref Wogging Marathon kilimita 10 wakiaza mbio hizo katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja na kumalizikia katika viwanja vya Amaan leo 27-8-2022.
RAIS SAMIA ATUNUKU NISHANI VIONGOZI MBALIMBALI KATIKA SHAMRASHAMRA ZA MIAKA
60 YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akimkabidhi Mama Salma Kikwete Nishani ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
ambayo alii...
59 minutes ago
No comments:
Post a Comment