Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizindua Mbio Amref Wogging Marathon ya Kilimota 10 na Kilimota Tano, zilizoazia katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja na kumalizikia katika viwanja vya Amani leo 27-8-2022. kwa Ajili ya kuchangia Vifaa Tiba kwa Uzazi Salama.
Washiriki wa Amref Wogging Marathon kilimita 10 wakiaza mbio hizo katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja na kumalizikia katika viwanja vya Amaan leo 27-8-2022.
Mapato yasiyo ya kodi yafikia asilimia 67, OMH yadhamiria kufikia lengo la
mwaka
-
Serikali, kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH), imeendelea kuonesha
mafanikio makubwa katika ukusanyaji wa mapato yasiyo ya kodi, baada ya
kukusanya S...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment