MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi
Zanzibar (CCM) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mstaafu
Awamu ya Saba Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akitowa Mkono wa Pole kwa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mstaafu Awamu wa Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa kufiwa na Mtoto wake Marehemu Hassan Ali
Hassan Mwinyi alipofika nyumbani kwa marehemu Chukwani Wilaya ya Magharibi ”B” Unguja, kutowa mkono
wa pole kwa familia ya marehemu leo 4-9-2022, na (kulia kwa Mzee Mwinyi ) Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi
Zanzibar (CCM) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mstaafu
Awamu ya Saba Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akitowa Mkono wa Pole kwa Rais wa
Jamhuri ya Muungano Mstaafu Awamu wa Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa kufiwa na Mtoto wake Marehemu Hassan Ali
Hassan Mwinyi alipofika nyumbani kwa marehemu Chukwani Wilaya ya Magharibi ”B” Unguja, kutowa mkono
wa pole kwa familia ya marehemu leo 4-9-2022, na (kulia kwa Mzee Mwinyi ) Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi
Zanzibar (CCM) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mstaafu Awamu ya Saba Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na kutowa mkono wa pole kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi, kwa kufiwa na Mtoto
wake Marehemu Hassan Ali Hassan Mwinyi, na (kulia kwa Mzee Mwinyi) Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi,
alipofika nyumbani kwa Marehemu Chukwani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja kutowa
mkono wa pole kwa familia ya marehemu leo 4-9-2022
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mstaafu Awamu ya Pili Alhaj Ali
Hassan Mwinyi akizungumza na kupokea
mkono wa pole kutoka kwa Makamu
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mstaafu Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein, alipofika
nyumbani kwa marehemu Hassan Ali Hassan Mwinyi Chukwani Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja leo 4-9-2022,kutowa mkono wa pole
kwa familia ya marehemu
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mstaafu Awamu ya Saba Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akitowa mkono wa
pole kwa Watoto wa Marehemu Hassan Ali Hassan Mwinyi alipofika nyumbani kwa marehemu Chukwani
Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 4-9-2022, kutowa mkono wa pole kwa familia
ya marehemu
No comments:
Post a Comment