RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Sheikh.Morari Bapu wa Jumuiya Hindu kutoka
Nchini India, alipofika Ikulu na Ujumbe wake kwa mazungumzo yaliyofanyika
katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Sheikh.Morari Bapu wa Jumuiya Hindu kutoka
Nchini India, alipofika Ikulu na Ujumbe wake kwa mazungumzo yaliyofanyika
katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Sheikh Morari Bapu wa Jumuiya
ya Hindu na Ujumbe wake kutoka Nchini India, baada ya kumaliza mazungumzo yao
yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment