RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar wakati ukipigwa wimbo wa Taifa wa Tanzania na wa Zanzibar na wa Afrika
Mashariki wakati wa hafla ya kumuapisha Mkurugenzi Mpya wa ZAECA leo 8-9-2022,hafla
hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
Ndg. Ali Abdalla Ali akiwa katika ukumbi wa
Ikulu Jijini Zanzibar leo 8-9-2022, akisubiria kuapishwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na
Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA) na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, hafla hiyo ya kuapishwa iliyofanyika
katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Ndg.Ali Abdalla Ali kuwa
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA),
hafla hiyo ya kuapishwa iliyofanyika leo 8-9-2022 katika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar
Ndg. Ali Abdalla Ali akiwa katika ukumbi wa
Ikulu Jijini Zanzibar leo 8-9-2022, akisubiria kuapishwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na
Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA) na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, hafla hiyo ya kuapishwa iliyofanyika
katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Ndg.Ali Abdalla Ali kuwa
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA),
hafla hiyo ya kuapishwa iliyofanyika leo 8-9-2022 katika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar
Ndg.Ali Abdalla Ali akiapa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa
na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA) akiapishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar anzibar leo 8-9-2022
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa
na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA) Ndg. Ali Abdalla Ali akisaini baada ya
kumaliza kiapo wakati wa hafla ya kuapishwa iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu
Jijini Zanzibar leo 8-9-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza katika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar baada ya kumuapisha Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na
Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA) Ndg.Ali Abdalla Ali, hafla hiyo iliyofanyika
katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 8-9-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza katika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar baada ya kumuapisha Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na
Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA) Ndg.Ali Abdalla Ali, hafla hiyo iliyofanyika
katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 8-9-2022
WAKUU wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Zanzibar
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza baada ya kumaliza
kumuapisha Mkurugenzi Mkuu wa (ZAECA) hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa
Ikulu Jijini Zanzibar leo 8-9-2022
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na
Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA) Ndg. Ali Abdalla Ali,akiwa na Viongozi mbalimbali katika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar akifuatila mazungumzo ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, baada ya kumalizika kwa hafla ya kuapisha
iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 8-9-2022.
No comments:
Post a Comment