Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt.
Andrew Komba akifungua Kikao cha Kutambulisha na Kuandaa Mradi wa Kujenga Uwezo
wa Utayari wa Nchi Kuhimili Athari za Mabadiliko ya Tabianchi kilichofanyika
leo Septemba 29, 2022 jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt.
Andrew Komba amesema Mamlaka za Serikali za Mitaa zitaongezewa uwezo wa
kutambua na kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi katika maeneo yao.
Amesema hayo wakati wa kikao cha Kikao cha Kutambulusha
na Kuandaa Mradi wa Kujenga Uwezo wa Utayari wa Nchi Kuhimili Athari za Mabadiliko
ya Tabianchi kilichofanyika leo Septemba 29, 2022 jijini Dodoma.
Dkt. Komba alisema lengo la mradi huo ni kuhakikisha
mipango ya masuala ya kuhimili madhara ya mabadiliko ya tabianchi yanaingizwa
katika mipango ya Serikali katika ngazi zote.
zira na lgs
Mradi wa kujenga uwezo wa utayari wan chi kuhimili
athari za mabadiliko ya tabianchi kupitia kuandaa mpango wa athari za
mabadiliko ya tabianchi katika mipango ya nchi.
Wa miaka mitatu
Kuutambulisha umezan rasmi mradi unaphea kutoka gcf
kutoka umoja unpd tupo na wadau na undp giz kuutmabua na kuhakikusha taasisi
zote za kiserukai na non zihauvjukua na kutekeelza ksuaidia mamlaka vijiji kata
na halamanairi ziinhize masuala ya mabadiliko ya tabianchi katika mipango rasmi
ya mandenelo iingzie kati,ma
Baada ya kuanza utekelzeaji mioango yote ngazi zote
iatanza kutambua namna ya kutambua na kuweka afua za kushughulikia masuala ya
mabadiliko ya tabianchi.
Bada ya mradi vijij vitaanza kutambua athari zilizopo
katika maeneo yao na kuyashahgulikia
Utekelezaji wa mradi wa NAP utasaidia katika kutoa tathmini ya kina ya kitaifa yenye msingi wa kuathiriwa kwa msingi wa ushahidi kwa ajili ya kusaidia kubuni masuluhisho ya kukabiliana na hali hiyo, kuandaa mkakati thabiti wa ufadhili na kuandaa madokezo matatu ya dhana ya GCF ili kutafuta ufadhili zaidi kushughulikia hatua za kukabiliana na hali ya kipaumbele katika sekta mbalimbali.
Zaidi ya hayo, wazo la kuanzishwa kwa mradi huu wa NAP lilikuwa ni kushughulikia suala lifuatalo lililosababishwa na: Kutokuwepo kwa mfumo madhubuti wa kitaasisi wa kuunganisha hatari za tabianchi na hatua za kukabiliana na hali katika mipango; Ukosefu wa habari juu ya hatari ya hali ya hewa na mazingira magumu; Ukosefu wa uwezo katika viwango tofauti; na Kuweka wazi uhusiano kati ya NAP na INDC/NDCs. Kwa maana hiyo, ili kufanikisha mradi huu matokeo yafuatayo yanapaswa kushughulikiwa:- Marekebisho ya usimamizi wa mipango na uratibu wa Taasisi; Msingi wa ushahidi wa kubuni masuluhisho ya urekebishaji kuimarishwa; na Mpango wa kitaifa wa kukabiliana na hali ulioandaliwa na kuthibitishwa.
Aidha, faida za miradi hiyo zitasaidia katika utekelezaji wa Mpango Kabambe wa Mazingira wa Afua za Kimkakati 2022; Mchango Uliodhamiriwa wa Kitaifa 2021 na Mkakati wa Kitaifa wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi 2021-2026.
Mkurugenzi wa Miradi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bw. Amon Manyama akizungumza wakati wa kikao cha Kutambulisha na Kuandaa Mradi wa Kujenga Uwezo wa Utayari wa Nchi Kuhimili Athari za Mabadiliko ya Tabianchi kilichofanyika leo Septemba 29, 2022 jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Bi. Farhat Ali Mbarouk akitoa neno wakati wa Kikao cha Kutambulisha na Kuandaa Mradi wa Kujenga Uwezo wa Utayari wa Nchi Kuhimili Athari za Mabadiliko ya Tabianchi kilichofanyika leo Septemba 29, 2022 jijini Dodoma.
Washiriki wakiwa katika Kikao cha Kutambulisha na Kuandaa Mradi wa Kujenga Uwezo wa Utayari wa Nchi Kuhimili Athari za Mabadiliko ya Tabianchi kilichofanyika leo Septemba 29, 2022 jijini Dodoma.
Mratibu wa Mradi wa Kujenga Uwezo wa Utayari wa Nchi Kuhimili Athari za Mabadiliko ya Tabianchi kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Bi.Asia Akule akiwasilisha mada kuhusu mradi huo kwa washiriki wakati wa kikao hicho kilichofanyika leo Septemba 29, 2022 jijini Dodoma.
No comments:
Post a Comment