Mafundi wa Ujenzi wa Barabara ya Mwera hadi Fuoni Kisima (kwa Chimbeni) inayojengwa kwa kiwango cha lami na Kampuni ya Iris kutika Nchini Uturuki ikiendelea na ujenzi huo kama walivyokutwa na mpiga picha wetu wakiwa katika ujenzi wa daraja katika barabara hiyo.
DKT. MWIGULU: KAZI ZINAZOWEZA KUFANYWA NA WAZAWA ZISIFANYWE NA WAGENI
-
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka wizara zinazohusika na masuala
ya ajira zisimamie kikamilifu utekelezaji wa sheria zinazotaka kazi
zinazoweza...
2 minutes ago
0 Comments