Mafundi wa Ujenzi wa Barabara ya Mwera hadi Fuoni Kisima (kwa Chimbeni) inayojengwa kwa kiwango cha lami na Kampuni ya Iris kutika Nchini Uturuki ikiendelea na ujenzi huo kama walivyokutwa na mpiga picha wetu wakiwa katika ujenzi wa daraja katika barabara hiyo.
AQRB YATAKIWA KUBORESHA MIFUMO YA USAJILI NA KUHAKIKISHA MIRADI YA UMMA
INASIMAMIWA NA WATAALAM WALIOSAJILIWA
-
Na. Vero Ignatus Michuzi Blog Arusha
Mkutano Mkuu wa 6 wa Mwaka wa AQRB 2025, umefanyika Jijini Arusha na
kukutanisha taasisi za udhibiti kama AQRB, ERB...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment