Mafundi wa Ujenzi wa Barabara ya Mwera hadi Fuoni Kisima (kwa Chimbeni) inayojengwa kwa kiwango cha lami na Kampuni ya Iris kutika Nchini Uturuki ikiendelea na ujenzi huo kama walivyokutwa na mpiga picha wetu wakiwa katika ujenzi wa daraja katika barabara hiyo.
Rais Samia azindua Programu ya Kilimo cha Mashamba makubwa ya pamoja Chinangali Mkoani Dodoma
-
RAIS Mhe. Samia Suluhu Hassan azindua Programu ya Kilimo cha Mashamba
makubwa ya pamoja (Block Farming) Chinangali Mkoani Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muunga...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment