Mafundi wa Ujenzi wa Barabara ya Mwera hadi Fuoni Kisima (kwa Chimbeni) inayojengwa kwa kiwango cha lami na Kampuni ya Iris kutika Nchini Uturuki ikiendelea na ujenzi huo kama walivyokutwa na mpiga picha wetu wakiwa katika ujenzi wa daraja katika barabara hiyo.
Wizara ya Elimu yataja vipaumbele vitano bajeti 2025-2026
-
Na Janeth Raphael MichuziTv - BUNGENI Dodoma
KATIKA mwaka wa fedha 2025/26, Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na
Teknolojia imepanga kutekeleza vip...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment