Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui akiwakabidhi zawadi maalum watendaji wa Willow International mara baada ya kujadili maswala mbalimbali ikiwemo uimarishaji wa Afya za Jamii huko Ofisi Kwake Mnazimmoja Zanzibar.
Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui akizungumza na watendaji wa WILLOW International wakati walipofika Ofisini kwake Mnazimmoja Kujadili maswala mbalimbali ikiwemo uimarishaji wa Afya za jamii
Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui akizungumza na watendaji wa WILLOW International wakati walipofika Ofisini kwake Mnazimmoja Kujadili maswala mbalimbali ikiwemo uimarishaji wa Afya za jamii
No comments:
Post a Comment