Habari za Punde

Mchezo wa Ligi Kuu ya PBZ Premier League Kati ya Kundemba na Polisi Mchezo Unaofanyika Uwanja wa Amaan Unguja Jijini Zanzibar.Timu Hizo Zimetoka Sare ya Bao 1-1


Mchezo wa Ligi Kuu ya PBZ Premier League Zanzibar kati ya Timu ya Kundemba na Polisi  mchezo unaofanyika Uwanja wa Amaan Unguja jioni hii Timu ya Polisi Ikiongoza kwa bao 1-0 , mchezo ukiwa niu mapumziko kipindi cha kwanza.
Mchezo huo Timu hizo zimetoka kwa sare ya bao 1-1 mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Unguja Jijini Zanzibar 1-10-2022. 






No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.