Habari za Punde

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Philip Mpango Amekutana na Kuzungumza na Rais wa AfDB

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Dkt. Akinwumi Adesina mara baada ya Mazungumzo baina yao  yaliofanyika katika katika ukumbi wa mikutano wa Makao Makuu ya AfDB Jijini Abidjan nchini Ivory Coast.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Philip Mpango akimkabidhi zawadi ya picha ya moja ya vivutio vya utalii vinavyopatikana Zanzibar Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Dkt. Akinwumi Adesina mara baada ya Mazungumzo baina yao yaliofanyika katika katika ukumbi wa mikutano wa Makao Makuu ya AfDB Jijini Abidjan nchini Ivory Coast

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Dkt. Akinwumi Adesina na ujumbe wake pamoja na wawakilishi wa Tanzania katika Jukwaa la Uwekezaji Barani Afrika 2022 mara baada ya Mazungumzo baina yao yaliofanyika katika katika ukumbi wa mikutano wa Makao Makuu ya AfDB Jijini Abidjan nchini Ivory Coast.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.