RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Balozi wa Sweden Nchini
Tanzania Mhe.Charlotta Ozaki Macias alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa
mafungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 3-11-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza mgeni wake Balozi wa Sweden
Nchini Tanzania Mhe. Charlotta Ozaki Macias, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar
kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 3-11-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Balozi wa Sweden
Nchini Tanzania Mhe. Charlotta Ozaki Macias, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar
kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 3-11-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni wake Balozi wa Sweden
Nchini Tanzania Mhe.Charlotta Ozaki Macias baada ya kumaliza mazungumzo yao
yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3-11-2022, alipofika
Ikulu kwa mazungumzo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifurahia jambo na mgeni wake Balozi wa
Sweden Nchini Tanzania Mhe. Charlotta Ozaki Macias, wakati wakiagana baada ya
kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
leo 3-11-2022.
No comments:
Post a Comment