Wananchi wakipata huduma za Kibenki katika Banda la Maonesho la PBZ katika Maonesho ya Mapinduzi yanayofanyika katika Viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
Wafanyakazi wa PBZ wakitowa huduma za Kibenki kwa Wananchi waliofika katika maonesho ya Mapinduzi Viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment