Habari za Punde

Waziri Mkuu - Akutana na vijana wa Kitanzania waliobuni roboti ya kukamata hewa ukaa (Carbon dioxide)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipewa maelezo na moja ya kijana Mtanzania aliyeshiriki mashindano ya ‘global robotic challange’ Maria Mtega, kuhusu roboti iliyoundwa na vijana wa Kitanzania ya kukamata hewa ukaa (Carbon dioxide), kwenye Ukumbi wa Ofisi Ndogo za Waziri Mkuu Magogoni Jijini Dar es Salaam Januari 15, 2023. Mashindano hayo yalifanyika nchini Geneva Uswisi na kujumuisha zaidi ya Mataifa 190. Katikati ni Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipewa maelezo na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye kuhusu roboti iliyoundwa na Vijana wa Kitanzania ya kukamata hewa ukaa (Carbon dioxide) kwenye Ukumbi wa Ofisi Ndogo za Waziri Mkuu Magogoni Jijini Dar es Salaam Januari 15, 2023. Roboti hiyo imefanya vizuri kwenye mashindano ya ‘Global Robotic Challange’  yaliyofanyika nchini Geneva Uswisi na kujumuisha zaidi ya Mataifa 190, ambapo vijana wa Kitanzania walishika nafasi ya pili ya mashindano hayo.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipewa maelezo na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye kuhusu roboti iliyoundwa na Vijana wa Kitanzania ya kukamata hewa ukaa (Carbon dioxide) kwenye Ukumbi wa Ofisi Ndogo za Waziri Mkuu Magogoni Jijini Dar es Salaam Januari 15, 2023. Roboti hiyo imefanya vizuri kwenye mashindano ya ‘Global Robotic Challange’  yaliyofanyika nchini Geneva Uswisi na kujumuisha zaidi ya Mataifa 190, ambapo vijana wa Kitanzania walishika nafasi ya pili ya mashindano hayo.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na vijana wa Kitanzania waliobuni roboti ya kukamata hewa ukaa (Carbon dioxide), ambapo walioshika nafasi ya pili kwenye mashindano ya ‘Global Robotic Challange’ , yaliyofanyika nchini Geneva Uswisi na kujumuisha zaidi ya Mataifa 190, kwenye Ukumbi wa Ofisi Ndogo za Waziri Mkuu Magogoni Jijini Dar es Salaam Januari 15, 2023.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.