Habari za Punde

KATIBU MKUU WA CCM, NDG. DANIEL CHONGOLO ALIPOHUTUBIA KIKAO KAZI CHA 18 CHA TAGCO

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Daniel Chongolo akizungumza kwenye Kikao Kazi cha 18 cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano kutoka Serikalini (TAGCO) kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam Machi 29, 2023. Kikao hicho cha siku tano kimebeba kauli mbiu isemayo "Mawasiliano ya Kimkakati Injini ya Maendeleo". (PICHA NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID).



Katibu wa TAGCO, Bw. Abdul Njaidi (wapili kulia) na baadhi ya wajumbe wengine wa Kamati ya Utendaji ya TAGCO, wakisikiliza hotuba ya Ndg. Chongolo.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye, akizunhuzma kwenye Kikao hicho.
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye, akizungumza kwenye Kikao hicho.
Mwenyekiti wa TAGCO, Bi. Sarah Kibonde
Washiriki wakifuatilia kwa makini hotuba ya Katibu Mkuu wa CCM, Ndg. Daniel Chongolo ( hayupo pichani).
Katibu Mkuu wa CCM, Ndg. Daniel Chongolo (kulia) akiteta jambo na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye.
Katibu Mkuu wa CCM, Ndg. Daniel Chongolo (katikati) na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Selestine Kakele. 
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Selestine Kakele akizungumza wakati wa kikao hicho.





Wajumbe wa Kamati Tendaji ya TAGCO
 Wajumbe wa TAGCO 
Katibu Mkuu wa CCM, Ndg. Daniel Chongolo (katikati) akisindikizwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (kushoto) na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Gerson Msigwa mara baada ya kuhutubia kikao kazi cha 18 cha TAGCO.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.