Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Amezindua Maabara Nne Mpya za Kisasa za Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) Maruhubi Jijini Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika viwanja vya Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) kwa ajili ya Uzinduzi wa Maabara Nne Mpya za Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) uliofannyika leo 15-3-2023 na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Maryam Mwinyi na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrissa Mustafa Kitwana na (kulia kwa Rais) Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban
MUONEKANO wa Jengo Jipya la Maabara la Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) lililoko katika maeneo la Maruhubi Wilaya ya Mjini Ugunja Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuashiria kuweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Maabara Nne Mpya za Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) Maruhubia Wilaya ya Mjini Unguja na (kushoto kwa Rais ) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, uzinduzi huo uliyofanyika leo 15-3-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuashiria kuweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Maabara Nne Mpya za Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) Maruhubia Wilaya ya Mjini Unguja na (kushoto kwa Rais ) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, uzinduzi huo uliyofanyika leo 15-3-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakimsikiliza Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban, akisoma maelezo ya Jiwe la Msingi la Uzinduzi wa Maabara Nne Mpya za Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) baada ya uzinduzi huo uliofanyika leo 15-3-2023 Maruhubi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Maabara 4 Mpya za Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) Maruhubi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrissa Mustafa Kitwana na (kulia kwa Rais) Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) Bw. Yussuf Nassor Majid, uzinduzi huo uliyofanyika leo 15-3-2023.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, wakimsikiliza Afisa wa Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) wa Maabara ya Vifaa vya Viwandani.Bi.Sumaiya Ismail Mtoro, wakati akitembelea Maabara Nne Mpya za (ZBS) baada ya kuzifungua leo 15-3-2023, Maruhubi Wilaya ya Mjini Unguja na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Bishara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, wakimsikiliza Afisa wa Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) wa Maabara ya Vifaa vya Viwandani.Bi.Sumaiya Ismail Mtoro, wakati akitembelea Maabara Nne Mpya za (ZBS) baada ya kuzifungua leo 15-3-2023, Maruhubi Wilaya ya Mjini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, wakimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) Bw. Yussuf Nassor Majid, wakati akitembelea Maabara Nne Mpya za Taasisi za Viwango Zanzibar(ZBS) baada ya kuzifungua leo 15-3-2023, Maruhubi Wilaya ya Mjini Unguja

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, wakimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) Bw. Yussuf Nassor Majid, wakati akitembelea moja ya Maabara ya Taasisi hiyo, baada ya kuzifungua leo 15-3-2023, na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban, uzinduzi huo uliyofanyika leo Maruhubi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Afisa wa Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) Bw. Othman Ali Mzee, wakati akitembelea Maabara ya Vifaa vya kupimia Vifaa vya Umeme, wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Maabara Nne Mpya za (ZBS) Maruhubi Wilaya ya Mjini Unguja leo 15-3-2023 na (kulia kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) Bw. Yussuf Nassor Majid.




 




RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa TUZO ya Kuthamini na Kutambua Mchango wako katika kukuza Viwango na Ubora Nchini, akikabidhiwa na Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe.Omar Said Shaban, wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Maabara Nne Mpya za Taasisi ya Viwango Zanzibar.(ZBS) Maruhubi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 15-3-2023.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Maabara Nne Mpya za Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) Maruhubi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 15-3-2023.
WAFANYAKAZI wa Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) wakishangilia wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Maabara Nne Mpya za Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) Maruhubi Wilaya ya Mjini Unguja leo 15-3-2023

BAADHI ya Viongozi wa Serikali,Wageni Waalikwa na Wananchi wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Maabara Nne Mpya za Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) Maruhubi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, uzinduzi huo uliyofanyika leo 15-3-2023.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.