Habari za Punde

Benki ya BOA Yawafutarisha Wateja Wao wa Zanzibar

WATEJA wa Benki ya BOA Zanzibar wakipata futari iliyoandaliwa na benki  hiyo katika ukumbi wa Michenzani Mall.

NAIBU Mufti Mkuu wa Zanzibar, Sheikh Mahmoud Mussa Wadi akiongoza waalikwa mbalimbali katika futari iliyoandaliwa na Benki ya BOA iliyofanyika katika ukumbi wa Michenzani Mall uliopo Michenzani Zanzibar.


MKURUGENZI Mtendaji wa Benki ya BOA, Adam Mihayo akizungumza katika hafla ya futari iliyoandaliwa na benki hiyo kwa wateja wao wa Zanzibar iliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall.

MWENYEKITI wa Bodi ya benki ya BOA, Nehemiah Mchechu  akizungumza katika hafla ya futari iliyoandaliwa na benki hiyo kwa wateja wao wa Zanzibar iliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall.

NAIBU Mufti Mkuu wa Zanzibar, Sheikh Mahmoud Mussa Wadi akiongoza waalikwa mbalimbali katika futari iliyoandaliwa na Benki ya BOA iliyofanyika katika ukumbi wa Michenzani Mall uliopo Michenzani Zanzibar.

NAIBU Mufti Mkuu wa Zanzibar, Sheikh Mahmoud Mussa Wadi(wa pili kushoto) akiagana na viongozi wa benki ya BOA baada ya kumalizika kwa futari iliyoandaliwa na benki hiyo kwa wateja wao waliopo Zanzibar, iliyofanyika katika ukumbi wa Michenzani Mall.


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.