Habari za Punde

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Tanga Bombo Kununua Basi

 

Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo Dkt Juma Ramadhani katika akizungumza wakati wa maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani katika Viwanja vya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo kushoto Katibu wa Hospitali hiyo Abdiely Makange na kulia ni Muuguzi Mkuu wa Mkoa wa Tanga Peter Chambo
Meza kuu wakifuatilia matukio mbalimbali katika maadhimiosho hayo
Katibu wa Tana Tawi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Mwanaisha Nyangasa akisoma risala 
Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo Dkt Juma Ramadhani wa pili kutoka kushoto akiwa na Katibu wa Hospitali hiyo Abdiely Makange wakitembelea mabanda mbalimbali wakati wa maadhimisho hayo
Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo Dkt Juma Ramadhani akizungumza wakati alipotembelea mabanda mbalimbali
Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo Dkt Juma Ramadhani katikati akipata maelezo  wakati alipotembelea mabanda mbalimbali kulia ni Katibu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo Abdiely Makange

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.