Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akibonyeza Kitufe
kuashiria ufunguzi wa Mradi wa Minara ya kurusha matangazo ya Televisheni
Ardhini (DTT) ya Kampuni ya Azam Media kwenye hafla iliyofanyika katika Makao
Makuu ya Ofisi hizo zilizopo Barabara ya Mandela Jijini Dar es Salaam
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Ofisa
Mtendaji Mkuu wa Azam Media Limited Ndugu Tido Mhando wakati alipotembelea
Studio za matangazo za Azam TV zilizopo Barabara ya Mandela Jijini Dar es
Salaam
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Ofisa
Mtendaji Mkuu wa Azam Media Limited Ndugu Tido Mhando wakati alipotembelea
Studio za matangazo za Azam TV zilizopo Barabara ya Mandela Jijini Dar es
Salaam
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya
King’amuzi kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Azam Ndugu Abubakar Said Salim
Bakhresa kwa ajili ya kuangalia maudhui mbalimbali ya Azam TV mara baada ya kuzindua
mradi wa Minara ya kurusha matangazo ya Televisheni Ardhini (DTT) ya Kampuni
hiyo kwenye hafla iliyofanyika katika Ofisi zao zilizopo Barabara ya Mandela
Jijini Dar es SalaamRais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na
viongozi pamoja na Wafanyakazi wa Azam Media mara baada ya kufungua Minara ya
kurusha matangazo ya Televisheni Ardhini (DTT) ya Kampuni hiyo kwenye hafla
iliyofanyika katika Ofisi za Kampuni hiyo zilizopo Barabara ya Mandela Jijini
Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na Mtoto Georgina Magesa (8) mara baada ya kuonana na Mhe. Rais katika Ofisi za Azam Media zilizopo katika Barabara ya Mandela Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na
Mtoto Georgina Magesa (8) mara baada ya kuonana na Mhe. Rais katika Ofisi za
Azam Media zilizopo katika Barabara ya Mandela Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Tuzo
kwa Niaba ya Kampuni ya Azam Media Mama Violet Maro Mwanamke wa kwanza
Mwandamizi katika fani ya Habari nchini wakati wa hafla ya uzinduzi wa mradi wa
Minara ya kurusha matangazo ya Televisheni Ardhini (DTT) ya Kampuni ya Azam
Media Jijini Dar es Salaam
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Tuzo
kwa Niaba ya Kampuni ya Azam Media Mama Debora Mwenda Mtangazaji wa kwanza
Mwanamke kuandaa vipindi vya Watoto wakati
wa hafla ya uzinduzi wa mradi wa Minara ya kurusha matangazo ya Televisheni
Ardhini (DTT) ya Kampuni ya Azam Media Jijini Dar es Salaam
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Tuzo
kwa Niaba ya Kampuni ya Azam Media Bi Hadija Said Mtangazaji wa kwanza Mwanamke
nchini akihudumu katika Redio ya Taifa (RTD) wakati wa hafla ya uzinduzi wa
mradi wa Minara ya kurusha matangazo ya Televisheni Ardhini (DTT) ya Kampuni ya
Azam Media Jijini Dar es Salaam
No comments:
Post a Comment