Naibu
Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis
akipokea taarifa ya Mkutano wa 19 Wataalamu kutoka nchi za Afrika mara baada ya
kuwasili katika Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Ethiopia kwa ajili ya kushiriki
Mkutano wa 19 wa Baraza ka Mawaziri wa Mazingira wa Aafrika unaotarajiwa
kufanyika jijini Addis Ababa kuanzia leo tarehe 17 hadi 18 Agosti, 2023.
Simbu takes Tanzania's first global title with marathon victory in Tokyo
-
Alphonce Felix Simbu made history on Monday (15), becoming the first
athlete from Tanzania to win a global title by claiming gold in the men's
ma...
49 minutes ago
No comments:
Post a Comment