Naibu
Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis
akipokea taarifa ya Mkutano wa 19 Wataalamu kutoka nchi za Afrika mara baada ya
kuwasili katika Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Ethiopia kwa ajili ya kushiriki
Mkutano wa 19 wa Baraza ka Mawaziri wa Mazingira wa Aafrika unaotarajiwa
kufanyika jijini Addis Ababa kuanzia leo tarehe 17 hadi 18 Agosti, 2023.
WANANCHI WAALIKWA KUFIKA BANDA LA CMSA KATIKA MAONESHO YA SABASABA KUPATA
UELEWA MASUALA YANAYOHUSU MASOKO YA MITAJI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA)imewakaribisha wananchi
wanaofika katika Maonesho ya Biashara ya 49 ya Kimataita y...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment