Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipiga makofi
pamoja na viongozi wengine mara baada ya kufungua Madarasa 6 ya jengo la Skuli ya
Msingi Muyuni B tarehe 29 Agosti, 2023 Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar katika
shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha Tamasha la Kizimkazi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati
akikagua Madarasa ya Shule ya Msingi Muyuni B mara baada ya ufunguzi katika
Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar tarehe 29 Agosti, 2023.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na
viongozi wengine katika picha ya pamoja na Walimu wa Skuli ya Msingi Muyuni B
mara baada ya ufunguzi kwenye Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar tarehe 29 Agosti,
2023.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na
viongozi wengine wakati akikata utepe kufungua Chumba cha Kompyuta na ukumbi wa
Mtihani wa Skuli ya Sekondari ya Muyuni B kwenye hafla fupi iliyofanyika Mkoa
wa Kusini Unguja Zanzibar katika shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha
Tamasha la Kizimkazi tarehe 29 Agosti, 2023.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza mara
baada ya kufungua Chumba cha Kompyuta na ukumbi wa Mtihani wa Skuli ya
Sekondari ya Muyuni B kwenye hafla fupi iliyofanyika Mkoa wa Kusini Unguja
Zanzibar tarehe 29 Agosti, 2023 katika shamrashamra za kuelekea kwenye kilele
cha Tamasha la Kizimkazi
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Afisa
Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna kuhusu Ujenzi wa Skuli ya
Maandalizi Tasani, Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar tarehe 29 Agosti,
2023.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza mara
baada ya kuweka jiwe la Msingi Ujenzi wa Skuli ya Maandalizi Tasani, Makunduchi
Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar tarehe 29 Agosti, 2023.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata utepe
kuzindua ugawaji wa Gari la OCD Kizimkazi Mkunguni pamoja na Gari la OCD
Makunduchi tarehe 29 Agosti, 2023 katika shamrashamra za kuelekea kwenye kilele
cha Tamasha la Kizimkazi
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi funguo
za magari Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar Hamad Khamis Hamad mara baada ya
uzinduzi katika shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha Tamasha la Kizimkazi
Mkoa wa Kusini Unguja.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikabidhi funguo
na gari la huduma katika Kituo cha afya cha Mama na mtoto Kizimkazi Dimbani
tarehe 29 Agosti, 2023 katika shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha
Tamasha la Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizindua Kituo cha
Afya cha mama na mtoto Kizimkazi Dimbani tarehe 29 Agosti, 2023 katika
shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha Tamasha la Kizimkazi Mkoa wa Kusini
Unguja.
No comments:
Post a Comment